TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Tuesday, November 15, 2011

TRENI YA TAZARA YATOA HUDUMA YA MAJI SAFI KWA WAKAZI WA WILAYA YA MBALIZI

Wananchi waliofika eneo TAZARA huku wengine wakiwa wamepanga foleni kwa ajili ya kupata maji ambapo Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) liliteka maji hayo kwa ajili ya wafanyakazi wake waliopo mji mdogo wa Mbalizi, wilaya ya Mbeya vijijini Mkoani Mbeya.

Wananchi wa mji mdogo wa Mbalizi, wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya wakigombania foleni ya kuteka maji, yaliyobebwa kwenye Behewa la treni inayomilikiwa na Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) siku ya jana majira ya asubuhi kutokana na uhaba wa maji unaokabiri mji huo.
Wananchi waliofika eneo TAZARA huku wengine wakiwa wamepanga foleni kwa ajili ya kupata maji ambapo Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) liliteka maji hayo kwa ajili ya wafanyakazi wake waliopo mji mdogo wa Mbalizi, wilaya ya Mbeya vijijini Mkoani Mbeya.

No comments: