TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Monday, September 29, 2008

BWANA MIFUGO UNAFANYA NINI?



Picha hii iliyopigwa magomeni kagera (27/9/2008) karibu na kituo cha daladala ikimwonyesha mbwa huyu akiwa amekufa.Je Afisa mifugo wa manispaa ya kinondoni unafanya nini mpaka wanyama kama hawa wanafikia hatua ya kupoteza maisha kwa magonjwa mbalimbali?Imefikia hatua sasa mipango yetu isiwe katika makarabrasha ofisini tuifanyie kazi kwa maendeleo ya nchi yetu.

No comments: