TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Sunday, June 19, 2011

DIDIE DROGBA ALIPOACHANA NA UKAPELA





Didier Drogba amefunga ndoa ya kiasili na mama wa watoto wake wa 3 Lalla Diakite jijini Monaco-Ufaransa.

Drogba na Lalla wamekuwa pamoja kwa zaidi ya miaka 12, na ndoa yao ilihudhuriwa na wageni zaidi 500 wakiwemo wachezaji wenzie Solomon Kalou, Florent Malouda na Micheal Essien.

No comments: