TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Saturday, June 18, 2011

BREAKING NEWS: Chama cha SAU chakibomoa CCM

Chama cha siasa Cha Sauti ya Umma (SAU) Kimeamua kujipanga upya baada ya kumnyakua kada maarufu wa CCM ndugu Mchatta Erick Mchatta.Mara baada ya kujiunga, Chama hicho kiliamua kumteaua kua Mkurugenzi wa Uenezi na Taifa na tayari kashaanza majukumu yake kwa kupanga Mikakati ya kulieleza taifa kuwa nini kifanyike ili liweze kujikomboa.

Nae menyekiti wa SAU Taifa bwana Paul Kyara amesema kua muda wa kufanya siasa safi ni sasa na kwa maslahi ya umma.

Habari na mdau ALLAN HALID KILUVIA

No comments: