TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Friday, April 6, 2012

RAIS KIWETE ATANGAZA TUME YA KUCHUKUA MAONI YA MABADILIKO YA KATIBA




Rais Kikwete akitoa ufafanuzi kuhusu Tume ya Mabadiliko ya Katiba aliyoitangaza, akisisitiza kwamba tarehe ya kuanza kazi itatangazwa rasmi mara baada ya wajumbe wote kujulishwa uteuzi wao na baadae kuapishwa. Ila kisheria tume inatakiwa iwe imekamilisha kazi ndani ya miezi 18.
PICHA ZOTE NA IKULU


Rais Kikwete akitangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo. Wakishuhudia ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Iddi na Waziri wa Sheria na Katiba Mama Celina Kombani.


Baadhi ya wahariri wa vyombo vya habari wakimsubiri Rais Kikwete kuja kutangaza majina ya wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo Ikulu jijini Dar es Salaam.

TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

(Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83,

Toleo la 2012, Vifungu 5, 6 na 7)

______________________________


UONGOZI WA JUU

1.


Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA


- Mwenyekiti

2.


Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino

RAMADHANI


- Makamu Mwenyekiti



WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA

1.


Prof. Mwesiga L. BAREGU




2.


Nd. Riziki Shahari MNGWALI




3.


Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI




4.


Nd. Richard Shadrack LYIMO




5.


Nd. John J. NKOLO




6.


Alhaj Said EL- MAAMRY




7.


Nd. Jesca Sydney MKUCHU




8.


Prof. Palamagamba J. KABUDI




9.


Nd. Humphrey POLEPOLE




10.


Nd. Yahya MSULWA




11.


Nd. Esther P. MKWIZU




12.


Nd. Maria Malingumu KASHONDA




13.


Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb)




14.


Nd. Mwantumu Jasmine MALALE




15.


Nd. Joseph BUTIKU






WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - ZANZIBAR

1.


Dkt. Salim Ahmed SALIM




2.


Nd. Fatma Said ALI




3.


Nd. Omar Sheha MUSSA




4.


Mhe. Raya Suleiman HAMAD




5.


Nd. Awadh Ali SAID




6.


Nd. Ussi Khamis HAJI




7.


Nd. Salma MAOULIDI




8.


Nd. Nassor Khamis MOHAMMED




9.


Nd. Simai Mohamed SAID




10.


Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA




11.


Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN




12.


Nd. Suleiman Omar ALI




13.


Nd. Salama Kombo AHMED




14.


Nd. Abubakar Mohammed ALI




15.


Nd. Ally Abdullah Ally SALEH






UONGOZI WA SEKRETARIETI

1.


Nd. Assaa Ahmad RASHID


- Katibu

2.


Nd. Casmir Sumba KYUKI


- Naibu Katib

No comments: