TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Friday, February 3, 2012

Rais Kikwete katika siku ya Sheria, akutana na viongozi wa NGO Ikulu


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na viongozi wa Baraza la Taifa la NGOs Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012 kuzungumzia mchakato wa Katiba.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mapendekezo ya Baraza la Taifa la NGOs Ikulu jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012 kuzungumzia mchakato wa Katiba.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika viwanja vya Mahakama kuu jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012 na kupokewa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman nyuma yake, Spika Anne Makinda (anayepeana nae mikono) na viongozi wa juu wa Mahakama kabla ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia kalenda aliyozawadiwa na Jaji Mkuu Mh. Mohamed Chande Othman baada ya kuhutubia katika Siku ya Sheria Tanzania jijini Dar es Salaam leo Januari 3, 2012.


PICHA NA IKULU

No comments: