TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Saturday, December 3, 2011

KILIMANJARO STARS YASONGA ROBO FAINALI KWA AIBU

Mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, Mrisho Ngasa akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Zimbabwe, Eric Mudzingwa katika mchezo wa Kombe la Chalenji uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.


Kipa wa Zimbabwe, Chigova George akiruka juu kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake huku mshambuliaji wa Kilimanjaro Stars, Hussein Javu akiwania mpira huo.

No comments: