TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Monday, November 7, 2011

MLINZI APIGWA NA SHOKA NA MAJAMBAZI HADI KUFA



Bw. Mussa Shabani (pichani) ambaye alipigwa shoka kichwani akiwa nyumbani kwa Bw. Joseph Mwakyusa huko Tabata jijini Dar es salaaam na majambazi amefariki dunia akiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam. Bw. Mussa alikutwa na tukio hilo akiwa katika kazi yake ya ulinzi nyumbani kwa Joseph Mwakyusa hivi karibuni.



No comments: