TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA NA UONE FAIDA YAKE

Kwa Habari au Tangazo lolote la Biashara tuwasiliane kwa Simu 0713 - 581741 au 0755 - 863097.Email: robadio8@gmail.com

Tuesday, October 25, 2011

BASI LA DELUXE LAWAKA MOTO NA KUU WATU KARIBU 30

Watu 30 wanahofiwa kufab katika ajali ya Basi la Deluxe linalofanya safari zake kati ya Dar - es - Salaam na Dodoma kuwaka Moto katika maeneo ya Kibaha Kongowe mkoani Pwani.Chanzo cha Moto huo hakijajulikana taarifa zaidi zitatolewa punde na mamalaka zinazohusika

No comments: