

Katikati ni gari ndogo jekundu lililokandamizwa chini ya lori jeupe la mafuta. Alikuwepo mtu hai bado hajatolewa wakati picha hizi zinapigwa punde tu ilipotokea ajali.



Lori la mafuta likiwa limetua juu ya moja ya magari yaliyogaribika vibaya kwenye ajali hiyo


Abiria wa daladala na wapita njia, wakitazama ajali hiyo
No comments:
Post a Comment